Wakati Mashabiki wa Simba wakiulizana kuna jambo gani tarehe 15 January saa nne usiku upande wa pili katika mitaa ya Twiga na Jangwani Mkuu wa Kitengo cha Habari wa Yanga Ali Kamwe naye kaposti picha ile ile kama ya Ahmed Ali tofauti ni Picha zao tu, swali linakuja kuna tukio gani ambalo Yanga na Simba wanachuana kulitenda siku hiyo?
Shabiki kama una jibu tiririka hapa kwenye komenti tujue pia.