Timu ya soka ya Mlandege ya Visiwani Zanzibar imewashangaza mashabiki wa Simba kwa kuwatafuna bila kuwachinja kwa goli moja ambalo limewafanya kutwaa Ubingwa wa Kombe hilo la Mapinduzi na ikiwa ni mara ya pili mfululizo wakifanya hivyo mwaka jana.
Full Time: Mlandege 1 - 0 Simba
Goli likifungwa dakika ya 60' na mchezaji mwenye TAALUMA ya UHANDISI WA UMEME aitwaye Akandwanaho.