Mshambuliaji Raia wa Gambia anayekipiga nchini Khazakstan katika klabu ya FC Zhenis ameshamalizana na mabosi wa Simba na leo anakwenda kutambulishwa.
Kwa usajili huu ukame wa mabao Unakwenda kuisha na bila BENCHIKHA atakuwa amefutwa jasho alilokuwa akilitoa katika kuumiza kichwa cha nani aingie na kumpa matokeo mazuri.