PAUL MAKONDA KUUNGURUMA MIKOA 20 TANZANIA AKIANZA NA DAR ES SALAAM
bySultan Uwezo -
0
Katibu wa NEC, ITIKADI, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Paul Makonda kuunguruma katika mikoa 20 ya Tanzania katika kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya Chama hicho lakini pia atasikiliza na kutatua Kero za Wananchi.