Katika kikosi cha timu ya Taifa ya Mali inayocheza na Afrika ya Kusini goli liko salama chini ya mikono ya Diarra golikipa namba moja wa timu ya Yanga. Leo TV nyingi zitakuwa kwenye mateso makubwa ya kuangaliwa na mamilioni ya mashabiki wa soka wa klabu ya Yanga kutoka kila kona ya Dunia.
Hivyo leo mashabiki wa Yanga watakuwa upande wa Yanga tu.